Saturday, September 17, 2016

TIPS FOR TEACHING YOUR KIDS ABOUT INTIMACY

How effectively are you, as parents, modeling intimacy for your children? Do they see you talking in caring and loving ways to each other, or do they see you avoiding issues and being distant? Do you model unhealthy behaviors, even addictions, that teach them about avoiding or medicating their feelings?

If you are to be successful at teaching your kids to value healthy intimacy in relationships including the relationship with their future spouses, then you'll need to do your best to model it for them, first with your spouse and then with your kids.

Here is a checklist of ways to demonstrate intimacy as you interact:

1. Talk with your kids, not at them. Be a good listener. (This rule applies to interactions with your spouse as well!)

2. Don't demand that your kids answer your questions. Give them the freedom to talk when they feel safe to do so.

3. Admit to your kids when you have been wrong. Don't be afraid that they will use this admission against you later. Don't model blaming behavior in front of them. Accept responsibility. Model how to make changes and/or restitution for mistakes you have made. Children will respect a person who knows how to admit failure and is willing to make changes. They don't need perfect parents.

4. Talk with your kids about your feelings. Describe to them times when you have been angry, lonely, frightened or sad. Don't expect them to "fix" your feelings. It is even appropriate to shed tears in front of children as long as they don't feel the responsibility to solve your problems.

5. Allow your children to be angry with you. Teach them how to do this in acceptable ways that are not damaging to you or others. Model healthy expressions of anger in ways that are neither physically violent nor emotionally dramatic.

6. When your children are sad, lonely, or frightened, don't try to talk them out of it or solve their problems for them. Listen, listen, listen!

7. Demonstrate problem-solving skills to your kids. Help them define the true nature of problems. Show them alternative solutions and teach them a process for reaching a decision. Allow them to fail at their decisions as long as that failure won't bring permanent consequences.

As you teach your children to be honest by modeling with your spouse and with them how to risk sharing their feelings with others, they will learn about the kind of emotional intimacy that is crucial to healthy adult sexuality.

Sunday, August 28, 2016

Mambo Muhimu Ambayo Hujawahi Kufundishwa Shuleni Na Ni Muhimu Sana Kwenye Maisha Yako.


Kwa miaka zaidi ya 15 ambayo umekaa kwenye mfumo wa elimu umejifunza vitu vingi sana. Kwanza ulijifunza jinsi ya kusoma na kuandika, baadae ukajifunza vitu muhimu kwenye historia, jografia, sayansi na hata mahesabu. Mwisho kabisa ukapata elimu ya utaalamu na hatimaye ukamaliza masomo yako kwenye utaalamu au ujuzi uliochagua kusoma.
Pamoja na mambo hayo mengi na mazuri uliyojifunza kwa miaka hiyo mingi kuna mambo mengi sana ambayo ni muhimu kwenye maisha hukupata nafasi ya kujifunza au kufundishwa. Kutokujua mambo hayo muhimu kuhusu maisha ndio kumekuwa chanzo kikubwa cha wahitimu wengi hasa wa vyuo vikuu kuona maisha ni magumu sana wanapofika mtaani.
Leo tutajadili mambo hayo muhimu ambayo hukufundishwa shuleni ila ni ya muhimu sana kwenye maisha yako.

1. Wewe ni wa pekee.
Katika watu zaidi ya bilioni saba wanaoishi kwenye dunia hii hakuna hata mmoja ambaye anafanana na wewe kwa kila kitu. Wewe ni wa pekee, una uwezo mkubwa sana na una vipaji na ubunifu wa kipekee. Ukishajua hili itakuwa rahisi kwako kufanikiwa kwani hutoweza kujilinganisha na mtu mwingine.
Shule imefanya kazi nzuri sana ya kukulazimisha kujilinganisha na wengine kwenye kila jambo unalofanya. Hii ni kwa sababu shuleni ulikuwa unafanya mtihani mmoja na wanafunzi wengine wote hivyo kupimwa kwa kulinganishwa.
Acha sasa kujilinganisha na wengine na tambua wewe ni wa pekee na hakuna anayeweza kufanya unayoweza kufanya wewe.

2. Unaweza kufanya chochote unachotaka.
Kwa kuwa wewe ni wa pekee, pia una uwezo mkubwa sana wa kuweza kufanya MAMBO MAKUBWA SANA. Kamwe usijishushe na kujiona wa chini, unaweza kufanya jambo lolote unalotaka kulifanya kwenye maisha yako. Unaweza kuyafanya maisha yako kuwa bora kuanzia sasa unapomaliza kusoma makala hii. Kitu muhimu ni wewe kujua ni kitu gani unataka kwenye maisha yako na kukitafuta kwa juhudi na maarifa.

3. Hakuna jibu moja sahihi.
Mitihani unayofanya ukiwa hapa chuoni au uliyokuwa unafanya shuleni/chuoni ilikulenga kuchagua jibu moja sahihi na kuacha mengine ambayo sio sahihi. Kwa bahati mbaya sana maisha hayako hivyo. Hakuna jibu moja sahihi au ambalo sio sahihi, yote ni majibu na yana usahihi na makosa kadiri maisha yanavyozidi kwenda.
Usidanganyike kwamba kuna kitu kimoja ukifata ndio utafanikiwa kwenye maisha, njia ya mafanikio ina vikwazo na changamoto nyingi. Usirudishwe nyuma na changamoto hizi kwa sababu ya mambo uliyofundishwa shuleni kwamba jibu sahihi ni moja tu.

4. Maana ya mafanikio.
Kila mtu kwenye maisha anataka kupata mafanikio makubwa, ila ni wachache sana ambao wanajua maana halisi ya mafanikio. Shuleni ulifundishwa kwamba kufanikiwa na kupita kiwango fulani cha maksi au hata kuwapita wengine darasani kwa ufaulu wa maksi.
Kwa bahati mbaya sana kwenye maisha mafanikio hayapimwi hivyo. Ukiangalia mafanikio kwa kutaka kuwashinda wengine au kuwa sawa na wengine utaishi maisha yako yote kukimbiza upepo. Maana ukijitahidi ukanunua gari kuna mtu utamkuta ana magari mengi zaidi yako, ukasema mafanikio ni kujenga nyumba kwa sababu kila mtu ana nyumba utakutana na mtu mwenye nyumba kubwa, nzuri na nyingi kuliko ya kwako. Kwa akili hii utaumia kichwa na kuona maisha yako hayana maana.
Badala ya kuendeshwa na mafanikio ya wengine kaa chini na uandike maana yako mwenyewe ya mafanikio kisha ishi kuitimiza maana hiyo.

5. Hakuna mtu yeyote au kitu chochote kinaweza kukupa furaha.
Hili ni jambo muhimu sana ambalo hukupata nafasi ya kufundishwa. Furaha inatoka ndani yako mwenyewe, hupewi na mtu au kitu unachomiliki.
Kama unafikiri mwenzi wako ndio atakupa furaha basi kuna siku utaumizwa sana, kama unafikiri fedha nyingi ndio zitakupa furaha uko kwenye tatizo kubwa. Furaha ipo ndani yako na utaipata kutokana na maisha unayoishi na mambo unayoyafanya kwako na kwa watu wengine.

6. Kufaulu darasani hakumaanishi kufaulu kwenye maisha.
Mazingira ya darasani yanatabirika, kaa darasani, soma kwa bidii, jiandae na mtihani na utafaulu. Mazingira ya kwenye maisha hayatabiriki hata chembe, unaweza kufanya kazi kwa juhudi na maarifa na bado yakatokea mambo yakakurudisha nyuma. Mitihani ya shuleni kwa kawaida unafahamua ni lini inakuja hivyo unaweza kujiandaa; ila mitihani ya kwenye maisha haina ratiba na hivyo inakukuta hujajiandaa. Ndio maana kufaulu darasani hakumaanishi ndio utafaulu kwenye maisha, kuna mambo mengi sana unatakiwa kujifunza.

7. Kukosea/kufeli ndio kujifunza.
Shuleni kufeli ni kwamba hujui au hujajiandaa vizuri na hivyo kukufanya uonekane wewe ni mwanafunzi dhaifu. Ila kwenye maisha kukosea au kufeli ndio njia sahihi ya kujifunza. Hujajifunza jambo lolote kweye maisha kama hujafeli au kuhsindwa kwenye jambo hilo. Badala ya kuogopa kufeli kwa sababu utaonekana ni dhaifu, hebu anza kuchukua kufeli kama sehemu ya kujifunza kwenye maisha yako.

8. Kuweka malengo.
Hiki ni kitu kimoja muhimu sana ambacho hukupata nafasi ya kufundishwa na kusisitiziwa vizuri wakati upo shuleni. Ni vigumu sana kuweza kufikia mafanikio makubwa unayotegemea kwenye maisha yako kama hutaweka malengo makubwa na mipango ya kufikia malengo yako. Kwa kushindwa kufanya hivi unawapa nafasi watu wengine wakutumie wewe kufikia malengo yao.

9. Matumizi ya fedha binafsi.
Fedha ni muhimu sana kwenye maisha yetu na huenda sababu kubwa iliyokufanya ukae shuleni miaka yote hiyo ni kupata fedha baadae. Pamoja na umuhimu huu wa fedha hukuwahi kupata nafasi ya kufundishwa matumizi na mipango binafsi ya fedha unazozipata. Hii inakusababishia kuwa na matumizi mabaya ya fedha na kuona maisha magumu kila siku.
Ni muhimu sana kuwa na matumizi mazuri ya fedha zako kwani hiki ndio kitakuwezesha kufikia mafanikio makubwa unayotazamia.

10. Haijalishi unajua nini bali unamjua nani.
Umeaminishwa shuleni kwamba kama ukisoma kwa juhudi na maarifa, ukajua vitu vingi sana basi unaweza kufikia mafanikioa makubwa sana. Kujua vitu vingi sana hakuwezi kukusaidia kama huwajui watu muhimu. Hivyo kwa kuwa umeshajua vitu vingi sasa wekeza nguvu sako kuwajua watu sahihi ili kuweza kufikia malengo yako.
Mafanikio yako yatatokana na watu muhimu ulionao kwenye mtandao wako. Hivyo jua watu wengi sana na muhimu zaidi jua wale ambao watakusaidia kufanikiwa kwenye taaluma au shughuli unazofanya.
Maisha halisi ni tofauti sana na mambo ambayo umekuwa ukifundishwa darasani kwa miaka mingi. Ni wakati wako sasa wa kuweza kujifunza mambo mengine muhimu ambavyo hukufundishwa darasani.


Monday, July 20, 2015

KUNDI LA 4U MOVEMENT DAR LA TANGAZA KUUUNGA MKONO UKAWA


4u movement Tanzania inajipambanua katika mabadiliko chanya kwa nchi yetu, tumeongoza Kuyasaka mabadiliko Kupitia balozi wetu wa mabadiliko Mh Edward Lowassa ndani ya CCM. Mchakato wa Kidemokrasia wa kudai mabadiliko ndani ya CCM umefungwa bila balozi wetu kuwa mpeperusha bendera hio na si kwa kushindwa , bali haki haikutendeka kwake na kwa wagombea wengine kwa kufinyangwa kanuni za chama katika Mchakato.
Tuliahidi kuto rudi nyuma na kamwe hatuwezi saliti nchi yetu, Mwl Julius Kambarage Nyerere muasisi wa Chama Cha Mapinduzi na Baba wa Taifa alituasa, tukiyakosa mabadiliko ndani ya CCM tuwe radhi kuyatafuta nje ya CCM.
4u movement Kama vuguvugu la mabadiliko hatusimami kuyadai mabadiliko ndani ya nchi yetu.
Tunaanza rasmi safari ya kudai mabadiliko nje CCM kwani si dhambi na ni haki yetu ya kikatiba. Tunawaomba wana 4umvt kwenda kushiriki kikamilifu uchaguzi wa 2015 kwa kuchukua fomu mbali mbali za uchaguzi, Kujiandikisha kWa wingi na kuwa hamasisha wenzetu wajiandikishe ili kwenda kutafuta mabadiliko YA kweli na kuingoa CCM madarakani.


Kiongozi wa Kundi Vijana wa 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, Hemed Ali akizungumza na waandishi wa habari jjini Dar es Salaam leo Julai 18, 2015 kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWA


Vijana wa Kundi la 4U Movement, liliokuwa likimuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa, washangilia baada kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusu msimamo wao wa kuungamkono UKAWA.



Saturday, November 29, 2014

MAAZIMIO YA BUNGE JUU YA SAKATA LA ESCROW

Baada ya Sakata la ESCROW kuchukua muda mrefu katika mijadala wa vikao vya Bunge hatua iliyopelekea Bunge kuweka historia ya kuendelea na kikao chake jana tarehe 28/11/2014 hadi saa tano Usiku. Aidha katika kikao hicho hakikumalizika kwa hali nzuri kutoka na na Baadhi ya wabunge wa CCM kuonekana waziwazi wakiwatete Watuhumiwa wa wizi wa mabilioni ya fedha za ESCROW.

Katika hatua nyingine leo tarehe 29/11/2014 iliundwa kamati maalum iliyojumuisha PAC, CCM na UKAWA ambapo kwa niaba ya Bunge walifikia maazimio yafuatayo ambayo baadaye saa 7:00 Jion yalisomwa Bungeni na kuridhiwa na wabunge walio wengi.

1.BUNGE LINAAZIMIA KUWA WOTE WALIOHUSIKA WAWAJIBIKE NAKUWAJIBISHWA KWA MUJIBU WASHERIA

2.SERIKALI IANGALIE UWEZEKANO WA KUTAIFISHA NA KUFANYA MITAMBO YA IPTL SASA IMILIKIWE NA SERIKALI

3.SERIKALI IPITIE UPYA MIKATABA YOTE NA KUANGALIA KAMA INAMASLAHI NA TAIFA,NA IBORESHWE.

4.SERIKALI ILETE MUSWADA WAKUREKEBISHA SHERIA YA TAKUKURU ILI KUUNDA CHOMBO KINGINE KITAKACHOKUWA NA NGUVU ZAIDI YA KUPAMBANA NA RUSHWA KUBWA KUBWA

5.MAJAJI WALIOTAJWA KUHISIKA INAPENDEKEZWA KUWA MH RAIS AUNDE TUME YA KIJAJI KUWACHUNGUZA JAJI ALOIS NA JAJI LUHANGISA NA KISHA WACHUKULIWE ATUA

6.BANK YA STANBIC BANK TZ LTD NA BANK NYINGINE ZOTE ZILIZOHUSIKA KATIKA KUTAKATISHA PESA HARAMU ZA KAMPUNI ZA (PAP NA VIP LTD) NI JINAI NA BANK HIZO ZOTE ZITANGAZWE NA MAMLAKA HUSIKA KUWA NI BANK ZENYE SHAKA YA UTAKATISHAJI NA UPOKEAJI WA PESA HARAMU

7.BUNGE LINASHAURI NA KUAZIMIA WAZIRI WA MADINI, WAZIRI WA ARDHI,MWANASHERIA MKUU,KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI,WAWAJIBISHWE NA MAMLAKA YA UTEUZI ITENGUE UTEUZI WAO.

8.WENYEVITI WA KAMATI ZA BUNGE AKIWAMO MH NGELEJA WANAOTAJWA KUHUSIKA WAVULIWE UENYEKITI NA NAFASI ZAO KAMATI HUSIKA ZICHUKUE HATUA HARAKA KUWAVUA NAFASI ZAO

Nawapongeza wabunge wote kwa kuondoa tofauti zao na kujali maslai ya taifa!!!!!

Sunday, September 14, 2014


"POLITICAL TOLERANCE" Siasa ni kuvumiliana na siyo uadui
Ni Kauli ya Makamu M/Kiti Taifa
Ndg Phillip Mangula katika Mkutano Mkuu wa CDM
akimwakilisha Rais ni vyema kauli hii iwe funzo kwa wanaCCM wote
na Wanzania kwa ujumla wake
hakika ni maneno ya busara na yakuonesha ukomavu
wa kisiasa Hongera sana Mzee Mangula,

Hongera sana CCM kwa kuwa na viongozi Shupavu

Friday, September 5, 2014

TOP SIGNS THAT HE'S JUST USING YOU.


Relationship advice is something you need to pay attention to if you suspect that your man is taking advantage of you. Is it true? Find out now!
Being used can be devastating to the ego and your self-esteem. If you’re in a relationship –whether budding or established and you thin that he might be taking advantage of you, you’re probably right. There are a lot of reasons that men use women. S3x is the one that most women think of, but there are others. Men cherish their self-image and having a great looking girl by their side is one of the biggest statements he can make while in public. A beautiful woman is a sign of success and power. This is a coveted feature of any man’s life, but he may only have superficial interest in you.

1. He Doesn’t Make You Feel Special
A guy that really cares about you is going to show that you’re the only girl on his mind. If you’re dating a fella that buys you generic gifts on your birthday or blows you off to spend time with his friends, he probably wants you as a backup plan. Get rid of him and get with one that will make you feel like the only girl he’s thinking about.

2. He Doesn’t Really Care Much About You
Does he ask how your day was when you walk through the door? If he does, can you tell that he’s actually interested in what you did for the last 12 hours of your life? If you sense disinterest in your work, your family or your passions, he’s probably taking advantage of you. A guy that takes a genuine interest in all of these aspects is going to respect you and really care about what is going on.

3. He Doesn’t Text Or Call You Back
If you send a text to your guy, what is his typical response time? Does he apologize if he doesn’t respond in a timely manner? If he takes a day or two to get back to you, he’s probably taking advantage of you. Men that are interested won’t leave you hanging.

4. He Has never Introduced You To His Family
If you have only been dating for a couple of weeks, you can let this one slide. But if you have been together for a couple of months and you still haven’t met his parents, there is something else going on. A man wants to have the approval of his parents. Dump him if he refuses to introduce you to his parents.

5. He Doesn’t Want To Meet Your Family
If he avoids meeting your family, this is another red flag. Meeting your family is a big deal. Looking your father in the eye while he inquires about his intentions with you is a staple of every relationship. If your guy refused to meet your family, it’s time to move on.

6. He Doesn’t Respect you
A man should always treat a lady as a lady. If he is disrespectful to you, he just wants you until you hit the breaking point. No man should ever treat a woman as anything other than an equal. Remember this the next time he makes a disrespectful remark.

Wednesday, August 27, 2014

MAMBO MUHIMU AMBAYO HAUJAWAHI KUFUNDISHWA SHULENI

Kwa miaka zaidi ya 15 ambayo umekaa kwenye mfumo wa elimu umejifunza vitu vingi sana. Kwanza ulijifunza jinsi ya kusoma na kuandika, baadae ukajifunza vitu muhimu kwenye historia, jografia, sayansi na hata mahesabu. Mwisho kabisa ukapata elimu ya utaalamu na hatimaye ukamaliza masomo yako kwenye utaalamu au ujuzi uliochagua kusoma.
Pamoja namambo hayo mengi na mazuri uliyojifunza kwa miaka hiyo mingi kuna mambo mengi sana ambayo ni muhimu kwenye maisha hukupata nafasi ya kujifunza au kufundishwa. Kutokujua mambo hayo muhimu kuhusu maisha ndio kumekuwa chanzo kikubwa cha wahitimu wengi kuona maisha ni magumu sana wanapofika mtaani.

Leo tutajadili mambo muhimu ambayo hukufundishwa shuleni ila ni ya muhimu sana kwenye maisha yako.
Mambo haya kumi muhimu ni;

1. Wewe ni wa pekee.
Katika watu zaidi ya bilioni saba wanaoishi kwenye dunia hii hakuna hata mmoja ambaye anafanana na wewe kwa kila kitu. Wewe ni wa pekee, una uwezo mkubwa sana na una vipaji na ubunifu wa kipekee. Ukishajua hili itakuwa rahisi kwako kufanikiwa kwani hutoweza kujilinganisha na mtu mwingine.
Shule imefanya kazi nzuri sana ya kukulazimisha kujilinganisha na wengine kwenye kila jambo unalofanya. Hii ni kwa sababu shuleni ulikuwa unafanya mtihani mmoja na wanafunzi wengine wote hivyo kupimwa kwa kulinganishwa.
Acha sasa kujilinganisha na wengine na tambua wewe ni wa pekee na hakuna anayeweza kufanta unayoweza kufanya wewe.

2. Unaweza kufanya chochote unachotaka.
Kwa kuwa wewe ni wa pekee, pia una uwezo mkubwa sana wa kuweza kufanya MAMBO MAKUBWA SANA. Kamwe usijishushe na kujiona wa chini, unaweza kufanya jambo lolote unalotaka kulifanya kwenye maisha yako. Unaweza kuyafanya maisha yako kuwa bora kuanzia sasa unapomaliza kusoma hapa. Kitu muhimu ni wewe kujua ni kitu gani unataka kwenye maisha yako na kukitafuta kwa juhudi na maarifa.

3. Hakuna jibu moja sahihi.
Mitihani uliyokuwa unafanya shuleni ilikulenga kuchagua jubu moja sahihi na kuacha mengine ambayo sio sahihi. Kwa bahati mbaya sana maisha hayako hivyo. Hakuna jibu moja sahihi au ambalo sio sahihi, yote ni majibu na yana usahihi na makosa kadiri maisha yanavyozidi kwenda.
Usidanganyike kwamba kuna kitu kimoja ukifata ndio utafanikiwa kwenye maisha, njia ya mafanikio ina vikwazo na changamoto nyingi. Usirudishwe nyuma na changamoto hizi kwa sababu ya mambo uliyofundishwa shuleni kwamba jibu sahihi ni moja tu.

4. Maana ya mafanikio.
Kila mtu kwenye maisha anataka kupata mafanikio makubwa, ila ni wachache sana ambao wanajua maana halisi ya mafanikio. Shuleni ulifundishwa kwamba kufanikiwa na kupita kiwango fulani cha maksi au hata kuwapita wengine darasani kwa ufaulu wa maksi.
Kwa bahati mbaya sana kwenye maisha mafanikio hayapimwi hivyo. Ukiangalia mafanikio kwa kutaka kuwashinda wengine au kuwa sawa na wengine utaishi maisha yako yote kukimbiza upepo. Maana ukijitahidi ukanunua gari kuna mtu utamkuta ana magari mengi zaidi yako, ukasema mafanikio ni kujenga nyumba kwa sababu kila mtu ana nyumba utakutana na mtu mwenye nyumba kubwa, nzuri na nyingi kuliko ya kwako. Kwa akili hii utaumia kichwa na kuona maisha yako hayana maana.
Badala ya kuendeshwa na mafanikio ya wengine kaa chini na uandike maana yako mwenyewe ya mafanikio kisha ishi kuitimiza maana hiyo.

5. Hakuna mtu yeyote au kitu chochote kinaweza kukupa furaha.
Hili ni jambo muhimu sana ambalo hukupata nafasi ya kufundishwa. Furaha inatoka ndani yako mwenyewe, hupewi na mtu au kitu unachomiliki.
Kama unafikiri mwenzi wako ndio atakupa furaha basi kuna siku utaumizwa sana, kama unafikiri fedha nyingi ndio zitakupa furaha uko kwenye tatizo kubwa. Furaha ipo ndani yako na utaipata kutokana na maisha unayoishi na mambo unayoyafanya kwako na kwa watu wengine.

6. Kufaulu darasani hakumaanishi kufaulu kwenye maisha.
Mazingira ya darasani yanatabirika, kaa darasani, soma kwa bidii, jiandae na mtihani na utafaulu. Mazingira ya kwenye maisha hayatabiriki hata chembe, unaweza kufanya kazi kwa juhudi na maarifa na bado yakatokea mambo yakakurudisha nyuma. Mitihani ya shuleni unajua ni lini inakuja hivyo unaweza kujiandaa muda huo ila mitihani ya kwenye maisha haina ratiba na hivyo inakukuta hujajiandaa. Ndio maana kufaulu darasani hakumaanishi ndio utafaulu kwenye maisha, kuna mambo mengi sana unatakiwa kujifunza.

7. Kukosea/kufeli ndio kujifunza.
Shuleni kufeli ni kwamba hujui au hujajiandaa vizuri na hivyo kukufanya uonekane wewe ni mwanafunzi dhaifu. Ila kwenye maisha kukosea au kufeli ndio njia sahihi ya kujifunza. Hujajifunza jambo lolote kweye maisha kama hujafeli au kuhsindwa kwenye jambo hilo. Badala ya kuogopa kufeli kwa sababu utaonekana ni dhaifu, hebu anza kuchukua kufeli kama sehemu ya kujifunza kwenye maisha yako.

8. Kuweka malengo.
Hiki ni kitu kimoja muhimu sana ambacho hukupata nafasi ya kufundishwa na kusisitiziwa vizuri wakati upo shuleni. Ni vigumu sana kuweza kufikia mafanikio makubwa unayotegemea kwenye maisha yako kama hutaweka malengo makubwa na mipango ya kufikia malengo yako. Kwa kushindwa kufanya hivi unawapa nafasi watu wengine wakutumie wewe kufikia malengo yao.

9. Matumizi ya fedha binafsi.
Fedha ni muhimu sana kwenye maisha yetu na huenda sababu kubwa iliyokufanya ukae shuleni miaka yote hiyo ni kupata fedha baadae. Pamoja na umuhimu huu wa fedha hukuwahi kupata nafasi ya kufundishwa matumizi na mipango binafsi ya fedha unazozipata. Hii inakusababishia kuwa na matumizi mabaya ya fedha na kuona maisha magumu kila siku.
Ni muhimu sana kuwa na matumizi mazuri ya fedha zako kwani hiki ndio kitakuwezesha kufikia mafanikio makubwa unayotazamia.

10. Haijalishi unajua nini bali unamjua nani.
Umeaminisha shuleni kwamba kama ukisoma kwa juhudi na maarifa, ukajua vitu vingi sana basi unaweza kufikia mafanikioa makubwa sana. Kujua vitu vingi sana hakuwezi kukusaidia kama huwajui watu muhimu. Hivyo kwa kuwa umeshajua vitu vingi sasa wekeza nguvu sako kuwajua watu sahihi ili kuweza kufikia malengo yako. Mafanikio yako yatatokana na watu muhimu ulionao kwenye mtandao wako. Hivyo jua watu wengi sana na muhimu zaidi jua wale ambao watakusaidia kufanikiwa kwenye taaluma au shughuli unazofanya.
Maisha halisi ni tofauti sana na mambo ambayo umekuwa ukifundishwa darasani kwa miaka mingi. Ni wakati wako sasa wa kuweza kujifunza vitu muhimu ambavyo hukufundishwa darasani.